The president has asked that question on behalf of some kenyans

Winnie

Member
KCr.
0.00
"Kazi Yako ni Mdomo tu.. Mdomo, halafu sasa tutafanya.. Tutafanya nini? Kwa nini Hukufanya wakati ulikua Ofisini? ".

President Uhuru Kenyatta, has criticized his Deputy William Ruto, for making empty Promises to Kenyans when he couldn't deliver on his 10 years in office. President Uhuru Kenyatta was Addressing guests during the 100th International cooperative Day Celebrations held at KICC.

"Huyu Peter Munya Amekuja miaka Tatu na amedalisha agriculture, hao walikua huku miaka Nane walifanya nini? Ndio tuambiwa hapa eti watu hawajui, hao ndio hawaelewi. akiona mtu ako na shida, ooh Mimi nitatatua hiyo, kwa nini hukutatua hizo shida huko mbele, " He said.
 
It's getting interesting hio uchungu Ruto na Uhuru wanakuanga nayo ianze kuzambaa sasa, katambe Uhuru akisupport Munya na tunasema venye Ruto alikua ameshukisha bei ya fertilizer. Akiingilia maendeleo tunaongelea handshake😌 tit for tat ndo mchezo ya kisasa. He should first accept his mistake and ask for the solution the insults and supporting opposition will cost him severely. I think he is bitter because among the agendas Hon William Samoei Ruto has is to unhide all those corrupt and misused funds which Uhuru really fears he will be among those going to suffer uncountable jail terms. Weeeh Kenya be ready it's about to go down⚠️ mpaka Azimio wameamua kunyamaza tumalizane kwanza 😂😂😂‼️
 
Top