Kila nikisomaga biblia nazidi kumchukia shetani eti alimwambia yesu. Abadilishe mawe kuwa mikate sasa sisi tungejengea nini maana yesu. Angebadilisha mawe kuwa mikate tungejengea nyumba mikate sasa unakuta mtu anakudai umeshindwa kumlipa anakuja na kikombe cha chai anakula nyumba nzima...
Hivi sasa ni saa mia moja dakika millioni moja sekunde hamsini kwa majina ni mchina jaconda miguu ya bata masikio ya umbwaaa matangazo ya vifo chumbwiza chumbwiza chubwi chubwi enhe samaki kamwe wa maji baridi baada ziwa turkana kuleta maji moto mazishi yatangaziwa hotpot pilipili hoho dania...
Hivi sasa ni saa mia moja dakika millioni moja sekunde hamsini kwa majina ni mchina jaconda miguu ya bata masikio ya umbwaaa matangazo ya vifo chumbwiza chumbwiza chubwi chubwi enhe samaki kamwe wa maji baridi baada ziwa turkana kuleta maji moto mazishi yatangaziwa hotpot pilipili hoho dania...
Is there an app available that is easier to use to make memes? I want to know because I'm indention to join this field so that I can try my lack and which is the best phone to use. Jaribuni mnitoe taka kwenye maskio manake la muhimu ni kisaidiana.